emblem

The United Republic of Tanzania

Centre for Agricultural Mechanization and Rural Technology
(CAMARTEC)

News

Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mnada wa hadhara wa magari na vifaa chakavu tarehe 06-05-2023 kuanzi


Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) anawatangazia wananchi wote kuwa kutakuwa na mnada wa hadhara wa magari na vifaa chakavu tarehe 06-05-2023 kuanzia saa 4.00 asubuhi katika Ofisi za CAMARTEC Makao makuu zilizoko Mkoa wa Arusha Njiro inatazamana na Kiwanda cha General Tyre Arusha.